Header Ads

Header ADS

VANESSA Mdee Alistahili Tuzo ya Mwanamziki Bora Wa kike na si Lady Jay Dee

Japo ni tuzo za Tz.... ilikuwa haina baja ya kusemea hili maana tulilitegemea lakini ukweli lazima uwekwe wazi! Lady Jay De hakustahili kuchukua Tuzo aliyo chukua Juzi! Labda jana ilikuwa ni kwa Ajiri ya Wakongwe Tuuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kuraa utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi Tuuu!!!!

Tukiachana na kura Kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa Nje ya nchi vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania Nje ya nchi kwa upande wa Kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv! Ameshajijengea Mashabaki ndani na Nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa Tuzo kisa Figisu Figisu!!

Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahara pake hapa Japo waliotoa Tuzo wanajua ukwelii!! walio ona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa Mbali!

Lakini kiukweliii Vanessa Mdee Alistahili hii tuzo bila ubishiiiiii.......Hata iwe kwa mchakato wa kuraaa Bado vanessa Ana Fan Base kubwaaa kuliko huyo!!!!

Haya ndo yanayo fanya watu kususia hizo Tuzo! ila Kwangu mimi kwa mwaka Huu Vanessa Mdee ndiye  aliyekuwa bora zaidi ya Lady Jay dee

No comments

Powered by Blogger.