Header Ads

Header ADS

Picha/ Video: Man United walivyo shinda ngao ya jamii

Kabla ya Ligi Kuu England kuanza huwa kuna mchezo wa ngao ya jamii, mchezo ambao huzikutanisha timu Bingwa wa Ligi Kuu na Bingwa wa Kombe la FA, mechi hiyo ilichezwa August 7 2016 England katika uwanja wa Wembley Leicester City ambaye ni Bingwa wa EPL na Man United ambaye ni bingwa wa FA walikutana.
Jesse Lingard aliifungia United bao la kuongoza kabla ya mapumziko
            Leicester City walisawazisha kupitia Jamie Vardy, Baadae Zlatan Ibrahimovic dakika ya 83 alifunga goli la ushindi na kuipa ubingwa wa Ngao ya Hisani.

Video ya Magoli

No comments

Powered by Blogger.