Header Ads

Header ADS

Usain Bolt kuchuana na Adam Gemili


Bingwa mara mbili wa Olimpiki wa riadha Usain Bolt amethibitisha kwamba yeye atashiriki katika michezo ya maadhimisho mjini London umbali wa Mita 200 hapo Julai 22 .
Raia huyo wa Jamaica mwenye miaka 29 ambaye ana rekodi ya dunia ya kukimbia mita 200 na sekunde 19 , atakabiliana na Muingereza Adam Gemili.
Naye mfukuza upepo Zharnel Hughes, mshindi namba tano wa mwaka jana katika michuano ya Dunia 200m, naye anatarajia kushiriki katika mbio hizo.

No comments

Powered by Blogger.