Header Ads

Header ADS

Batuli azungumzia kurejea kwa tamthilia za mastaa wa Bongo, atoa ushauri huu

Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema yeye ni mmoja wa watu waliofurahi kuona kuwa waigizaji maarufu nchini wanarejea kwenye tamthilia. Miongoni mwa waigizaji wanaokuja na tamthilia zao ni JB, Irene Uwoya pamoja na Ray na Johari. Amesema kwa ulimwengu wa sasa tamthilia haziepukiki na ni muhimu Tanzania zikawepo nyingi pia.12445799_868152293294128_1303469423_n

No comments

Powered by Blogger.