Header Ads

Header ADS

Obama ammwagia sifa Mtanzania, Geline Fuko kwenye hotuba yake

Rais wa Marekani, Barack Obama amemwagia sifa Mtanzania Geline Fuko ambaye ni Mwanaharakati wa haki za binadamu, kwenye hotuba yake ya kwenye mkutano wa vijana Washington DC, Marekani                                                         Obama amekutana na vijana mbalimbali kutoka bara la Afrika ikiwa ni mpango wa serikali yake kila mwaka toka mwaka 2014 kukutana na vijana hao ambao wanaohusika na kuivusha jamii kwenye masuala mbalimbali ikiwemo biashara na siasa                                                                                                                   Rais Obama alimsifia Geline kutokana na juhudi zake za kuwawezesha watanzania kusoma katiba ya nchi kupitia simu za mkononi. Tazama video ya Obama akimsifia Mtanzania huyo.

No comments

Powered by Blogger.