Header Ads

Header ADS

Model wa Tanzania Herieth Paul akava jarida la Flare la Canada


Supermodel wa Tanzania, Herieth Paul amekava jarida la Flare la Canada.                                                                         13732262_794792013956363_1849119890_nYupo kwenye toleo la mwezi ujao, August. Kwenye kava hiyo kuna maneno yasemayo: Model Herieth Paul is in fire in Canada’s best fashion.
Herieth aliyezaliwa Dar es Salaam, alihamia nchini Canada miaka kadhaa iliyopita baada ya mama yake anayefanya kazi za kidiplomasia kuhamishiwa nchini humo. Kwa sasa anafanyia kazi zake jijini New York, Marekani.13126771_1574025839556870_313071287_nMwaka huu alichaguliwa kuwa kisura wa brand maarufu sana ya urembo duniani, Maybelline na kuungana na masupermodel wengine wakiwemo Gigi Hadid na Jourdan Dunn na wengine.

No comments

Powered by Blogger.