Header Ads

Header ADS

Chris Smalling aanguka ghafla kwa kula chakula ambacho kina sumu

Beki wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa England Chris Smalling ameumia vibaya kwa kupasuka juu ya jicho baada ya kuanguka ghafla na kujigonga akiwa katika mapumziko katika kisiwa cha Bali nchini Indonesia.                               35EF353300000578-3673391-image-a-22_1467625801340Jeraha lake limeelezwa kuwa na ukubwa wa inchi tatu na kulazimika kushonwa nyuzi kadhaa                           35F2BAD800000578-3673391-image-a-103_1467648930735Inaelezwa Smalling alianguka baada ya kula chakula chenye chembechembe ambazo huenda kuwa zinatokana na samaki au mbogamboga ambazo si zile zinazowekwa kwa makusudi.
Smalling alikuwa na mpenzi wake Sam Cooke na alianguka na kupelekwa hospitali kupatiwa matibabu na anaendelea vizuri.

No comments

Powered by Blogger.