Header Ads

Header ADS

Jay Z amteua Romeo Santos kuwa CEO wa Roc Nation Latin

Msanii maarufu na Jay-Z-Romeo-Santos-Roc-Nation-Latinmshindi wa tuz13402588_1756296114616088_93892427_no kibao, Romeo SRoc Nation pia imeonesha mpango wa kuwa na tawi lake Afrika baada ya hivi karibuni kudaiwa kumsainisha msanii wa Nigeria, Tiwa Savage. Rapper yanki wa Afrika Kusini, Nasty C naye alidai kuwa alipigiwa simu na Roc Nation kwa mazungumzoantos ameteuliwa kuwa CEO wa Roc Nation Latin.
“Romeo has had tremendous success as a composer and producer and can spot true talent,” alisema Jay Z.
“This is a tremendous step for Roc Nation. We recognize there is a huge Latin market that is part of global culture. We’re proud and ready to enter into true partnership with an individual that intimately lives and knows that culture.”
Santos atakuwa na kazi ya kuchukua na kuwanoa wasanii watakaojiunga na label hiyo ambayo inaendelea kujitanua zaidi duniani. Atasaidiwa na meneja wake wa muda mrefu, Johnny Marines, aliteuliwa kuwa Rais wa tawi hilo.

No comments

Powered by Blogger.