Header Ads

Header ADS

England na Wales zafanikiwa kusonga mbele Euro

Wales na England zimefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Euro baada ya mechi zake za kundi B kukamilika.Wilshere-SlovakiaVijana wa Chris Coleman wamewabamiza Russia mabao 3 kwa 0 na huku England ikilazimisha sare ya bila kufungana na Slovakia katika mchezo wa mwisho wa kundi hilo uliochezwa huko Saint-Etiene, Ufaransa.

No comments

Powered by Blogger.